Afisa maendeleo ya Mwani Nd: Fatma Suleiman Ali akitoa maelezo juu ya zao la mwani na matumizi yake kwa wadau mbali mbali katika viwanja vya maonesho ya 50 ya Saba Saba yanayofanyika jijini Dar-es-Salaam mwaka 2026 July 3, 2026
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mh: Hamida Mussa Khamis akipata elimu ya mwani kutoka kwa afisa wa kampuni ya mwani mara alipotembelea banda la Kampuni ya Mwani katika viwanja vya Maonesho ya Kimataifa vya Nyamanzi januari 2026. January 26, 2026
The Deputy Principal Secretary of the Ministry of Trade and Industry Development, Dr. Said Seif, presenting an award and a sponsorship certificate to the Zanzibar Seaweed Company (ZASCO) during the closing ceremony of the 11th Trade Exhibition held at Nyamanzi Grounds January 16, 2025